
Damu Ya Salaam Khadja Nin
На этой странице вы найдете полный текст песни "Damu Ya Salaam" от Khadja Nin. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

Tangu iraki mpaka amerika
Wako karibu yakufunga vita
Mi mama mzazi nauliza
Ni nani ata linda watoto wetu
Bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Mimi huyu nakosa njiya
Yakusikika kwa wakubwa
Kwa hakika tulijioneya
Vita ya kwanza ilizala fitina
Bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Nakata matumaini
Ju kwa vile naona
Wakubwa hawajali macozi ya
Mutu mudogo analiya wake
Siraha ya amani ilikuta kwake
Mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Wako karibu yakufunga vita
Mi mama mzazi nauliza
Ni nani ata linda watoto wetu
Bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Mimi huyu nakosa njiya
Yakusikika kwa wakubwa
Kwa hakika tulijioneya
Vita ya kwanza ilizala fitina
Bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Nakata matumaini
Ju kwa vile naona
Wakubwa hawajali macozi ya
Mutu mudogo analiya wake
Siraha ya amani ilikuta kwake
Mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
Mi si aminiye neno ile
Damu yaliyo mwangiwa
Ni ya wadogo na watoto tu
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.