0
Fresh (Remix) - Fid Q (Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny)
0 0

Fresh (Remix) Fid Q (Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny)

На этой странице вы найдете полный текст песни "Fresh (Remix)" от Fid Q (Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny). Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.
Fresh (Remix) - Fid Q (Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny)
[Intro]
Ma Meen
Tiddy Hotter

[Verse 1: Fid Q & Diamond Platnumz]
Nikipata cash, nakua fresh kama cucumber
Nikiwa na dash nakua mjeshi bila full ngwamba
Kwenda less sioni kesi Mr. Kubanda
Yakiji-set, sikwepeshi naweka juu chanda
Sio mtu wa kila mtu ila ni mtu wa watu
Mtu shantu, kuntu na ni mtu mbavu
Sio mtu kavu huyu mtu anautu na love (Remix)
Lakini sio mtu wa kila mtu na sio mpumbavu (Yo)

[Verse 2: Diamond Platnumz]
Nilipo sikia beat tu nikatama nifanye verse
Nikam-check ngosha akanambia Simba mbona fresh
Upesi upesi nikaandika ni murder case
Na sasa ngoma kitaani imenuka kama kinyesi
I started young
Kabla sijaitwa Chibu Denga
Enzi hizo naitwa Domo, siku hizi eti lipsi denda
Fresh
Baba Tiffa mwaniita Baba Nillan
Naskia naitwa Baba Abdul, kuna mambo mtaani
Fresh
Mzuka ukipanda wakata viuno kama vanga
Kwa beat ya kubanda inayobakwa na muuza Karanga
Ukinichukia sikosi hela, hivyo kwangu sio case
Kuni-compare na sinderera haiwezi kuwa fresh
Simba
Toka mbuga ya Tandale
Naona swala wanna force tuwe sarе sare
Viuno vidogo wanataka penzi ya pepе kale
Si walitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.
Информация
Комментариев пока нет. Вы можете быть первым!
Войти Зарегистрироваться
Войдите в свой аккаунт
И получите новые возможности