
Nitarejea Diamond Platnumz (Ft. Hawa Ntarejea)
На этой странице вы найдете полный текст песни "Nitarejea" от Diamond Platnumz (Ft. Hawa Ntarejea). Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Intro: Diamond Platnumz]
Ah ah ah...
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Vipi mizigo umeshaweka tayari
Mmmh, ah ah
Sijechelewa nkaachwa na gari
Mmmh, ah ah
Basi jikaze usilie mpenzi
Ah ah ah
Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi
Ah ah ah
Zile taabu na njaa
Msimu mzima mavuno hakuna
Huwa nakosa raha
Pale mkikosa cha kutafuna
Roho yangu inauma
Sema ntafanya nini
Na pesa sina
Nakuonea na huruma
Bora niende mjini
Kusaka tumaa
[Chorus: Diamond Platnumz]
Kama watoto wakinililia (kama)
Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
Wadanganye na vibagia (wadanganye)
Waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama)
Kama watoto wakinililia (kama)
Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
Nawe usichoke kuvumilia (usichoke)
Na kila siku kuniombea (nirude salama)
Ah ah ah...
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Vipi mizigo umeshaweka tayari
Mmmh, ah ah
Sijechelewa nkaachwa na gari
Mmmh, ah ah
Basi jikaze usilie mpenzi
Ah ah ah
Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi
Ah ah ah
Zile taabu na njaa
Msimu mzima mavuno hakuna
Huwa nakosa raha
Pale mkikosa cha kutafuna
Roho yangu inauma
Sema ntafanya nini
Na pesa sina
Nakuonea na huruma
Bora niende mjini
Kusaka tumaa
[Chorus: Diamond Platnumz]
Kama watoto wakinililia (kama)
Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
Wadanganye na vibagia (wadanganye)
Waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama)
Kama watoto wakinililia (kama)
Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
Nawe usichoke kuvumilia (usichoke)
Na kila siku kuniombea (nirude salama)
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.