
Oka Diamond Platnumz (Ft. Mbosso)
On this page, discover the full lyrics of the song "Oka" by Diamond Platnumz (Ft. Mbosso). Lyrxo.com offers the most comprehensive and accurate lyrics, helping you connect with the music you love on a deeper level. Ideal for dedicated fans and anyone who appreciates quality music.

[Intro]
Ashi, ashika, ashi
Le general Dangote
Ashi, ashika, ashi
Kirungi bin shedede
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Kananipa Mambo ya pwani Hadi napandisha (mazyiii)
Dozi kitandani had nazimika (ziii)
Haniti chibu anakatisha (chiii)
Ka nyakanga mwali anavyo katika
[Chorus]
Jamani Ale Ale Ale (Alele)
Alelele (Alele)
Oh Ale (Alele)
Alelele (Alele)
Asa oka, okaka
Oka, okaka
Oka, okaka
Oka, okaka
[Verse 2: Diamond Platnumz]
Baby ooh
Unifanya Nini
Mi mwana wa mwenzio
Maana kwako sioni, umenifunga na sikio
Ukinishika hapa (Utamu)
Ukinigusa huku (Utamu)
Ukinichumu Mimi (Utamu)
Ukinibusubusu jaman
Ashi, ashika, ashi
Le general Dangote
Ashi, ashika, ashi
Kirungi bin shedede
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Kananipa Mambo ya pwani Hadi napandisha (mazyiii)
Dozi kitandani had nazimika (ziii)
Haniti chibu anakatisha (chiii)
Ka nyakanga mwali anavyo katika
[Chorus]
Jamani Ale Ale Ale (Alele)
Alelele (Alele)
Oh Ale (Alele)
Alelele (Alele)
Asa oka, okaka
Oka, okaka
Oka, okaka
Oka, okaka
[Verse 2: Diamond Platnumz]
Baby ooh
Unifanya Nini
Mi mwana wa mwenzio
Maana kwako sioni, umenifunga na sikio
Ukinishika hapa (Utamu)
Ukinigusa huku (Utamu)
Ukinichumu Mimi (Utamu)
Ukinibusubusu jaman
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.