(This one is a banger)
Ahaahahaha Jeshi, awiii!
(Daxo Chali)
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Jumamosi kakesha analewa
Jumapili kanisani, anajikosha
Eti sipendi vya kupewa
Bango analipa shabani, anajikosha
Shoga jana nilinoga
Na nywele yako umetisha, anajikosha
Nimesharudi naoga
Jioni nitairudisha, anajikosha
Kwanza hata usitume tena
Tayari nishazila, anajikosha
Hasa baby nitakula nini
Zilikuwaga ni hasira, anajikosha
Penzi bichi makele bwana
Nimehama nipo mbweni, anajikosha
Tena huku ni baridi sana
Huhitaji hata feni, anajikosha
Ahaahahaha Jeshi, awiii!
(Daxo Chali)
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Jumamosi kakesha analewa
Jumapili kanisani, anajikosha
Eti sipendi vya kupewa
Bango analipa shabani, anajikosha
Shoga jana nilinoga
Na nywele yako umetisha, anajikosha
Nimesharudi naoga
Jioni nitairudisha, anajikosha
Kwanza hata usitume tena
Tayari nishazila, anajikosha
Hasa baby nitakula nini
Zilikuwaga ni hasira, anajikosha
Penzi bichi makele bwana
Nimehama nipo mbweni, anajikosha
Tena huku ni baridi sana
Huhitaji hata feni, anajikosha
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.