
Hayakuhusu Ibraah
На этой странице вы найдете полный текст песни "Hayakuhusu" от Ibraah. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Paroles de Hayakuhusu"]
Wewe, aah aah ah
Haukutaka kulea, wakati unalelewa
Lazima uvunjie watu wazima heshima
Punguza mazea unajifanya una-care
Wakati umemtelekeza Fahima
Achana na walokutangulia
Wakati kesho yako hujui itakwangukia
Unaweza Wasafi ukatimuliwa
Na Konde Gang ukaja kusign-iwa
Unashindana na mwanajeshi
Ambaye vita aliianza baba yako (Na hawezi)
Msalimie kipa la ndezi
Mwambie hata akikesha kwa sango (Hatuhami Mbezi)
Nyimbo kaimbiwa Kajala
Karauka na kupwita pwita
Acha papara aah wee
Naskia unachimba mikwara
Hauna chochote wewe buma chakula ah wewe
Mapenzi ya Konde na Kajala
Yanakuhusu nini kaka wee (Hayakuhusu)
Hata wakiongea video call
Na Paula lakini si mwanae (Hayakuhusu)
Wewe, aah aah ah
Haukutaka kulea, wakati unalelewa
Lazima uvunjie watu wazima heshima
Punguza mazea unajifanya una-care
Wakati umemtelekeza Fahima
Achana na walokutangulia
Wakati kesho yako hujui itakwangukia
Unaweza Wasafi ukatimuliwa
Na Konde Gang ukaja kusign-iwa
Unashindana na mwanajeshi
Ambaye vita aliianza baba yako (Na hawezi)
Msalimie kipa la ndezi
Mwambie hata akikesha kwa sango (Hatuhami Mbezi)
Nyimbo kaimbiwa Kajala
Karauka na kupwita pwita
Acha papara aah wee
Naskia unachimba mikwara
Hauna chochote wewe buma chakula ah wewe
Mapenzi ya Konde na Kajala
Yanakuhusu nini kaka wee (Hayakuhusu)
Hata wakiongea video call
Na Paula lakini si mwanae (Hayakuhusu)
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.