
Kizaizai (Remix) Diamond Platnumz
On this page, discover the full lyrics of the song "Kizaizai (Remix)" by Diamond Platnumz. Lyrxo.com offers the most comprehensive and accurate lyrics, helping you connect with the music you love on a deeper level. Ideal for dedicated fans and anyone who appreciates quality music.

[Chorus]
(Kizaizai)
Nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha (Kizaizai)
Oh, nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha
[Verse 1]
Mmmh
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
(Kizaizai)
Nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha (Kizaizai)
Oh, nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha
[Verse 1]
Mmmh
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.