
Kizaizai (Remix) Diamond Platnumz
На этой странице вы найдете полный текст песни "Kizaizai (Remix)" от Diamond Platnumz. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Chorus]
(Kizaizai)
Nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha (Kizaizai)
Oh, nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha
[Verse 1]
Mmmh
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
(Kizaizai)
Nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha (Kizaizai)
Oh, nyie mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oh, kizunguzungu (KIzaizai)
Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie mapenzi karaha
[Verse 1]
Mmmh
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
Yanaanza kama safari
Twende ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponie
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.