
Nitongoze Rayvanny (Ft. Diamond Platnumz)
На этой странице вы найдете полный текст песни "Nitongoze" от Rayvanny (Ft. Diamond Platnumz). Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Intro: Rayvanny& Diamond Platnumz]
Weka shida chini glasi juu tujipongeze
Usijali wanafki wambea chapa mziki, wote tucheze
Haha, Vanny Boy
Chui
Platnumz
(S2kizzy baby)
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Ah maswali mengi kwa waiter
Hauna hela nini? (Eti)
Hiyo shi' ngapi, hii shi' ngapi?
Hauna hela nini? (Eti)
Maswali mengi kwa waiter
Hauna hela nini? (Eti)
Ile shi' ngapi, hii shi' ngapi, hauna hela nini?
[Pre-Chorus: Rayvanny]
Nimeachwa staki tena maswali
Naenda beachi kula upepo wa bahari
Naumwagilia moyo mziki kwa mbali
Jimbo liko wazi sema nitakubali
[Chorus: Diamond Platnumz]
Ati unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Eish, unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Eh bwana we
Weka shida chini glasi juu tujipongeze
Usijali wanafki wambea chapa mziki, wote tucheze
Haha, Vanny Boy
Chui
Platnumz
(S2kizzy baby)
[Verse 1: Diamond Platnumz]
Ah maswali mengi kwa waiter
Hauna hela nini? (Eti)
Hiyo shi' ngapi, hii shi' ngapi?
Hauna hela nini? (Eti)
Maswali mengi kwa waiter
Hauna hela nini? (Eti)
Ile shi' ngapi, hii shi' ngapi, hauna hela nini?
[Pre-Chorus: Rayvanny]
Nimeachwa staki tena maswali
Naenda beachi kula upepo wa bahari
Naumwagilia moyo mziki kwa mbali
Jimbo liko wazi sema nitakubali
[Chorus: Diamond Platnumz]
Ati unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Eish, unanitaka?
Eti unanipenda? (Basi nitongoze)
Eh bwana we
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.