Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi mizigo vikwazo
Ila yote umenitua
Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa pressure mawazo
Chonde mama utaniua
Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooooh tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukakanyanyasika
Ila mpenzi usisahau
Mi ooh oh, I, mi amor, I
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you
Machozi mizigo vikwazo
Ila yote umenitua
Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa pressure mawazo
Chonde mama utaniua
Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooooh tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukakanyanyasika
Ila mpenzi usisahau
Mi ooh oh, I, mi amor, I
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.