0
Utaniua - Zuchu
0 0

Utaniua Zuchu

На этой странице вы найдете полный текст песни "Utaniua" от Zuchu. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.
Utaniua - Zuchu
[Intro]
Eti-lah-lah-lah, lalalala, lala, lalaah
Lah-lah, lalalala, lala, lalaah

[Verse 1]
Nna hamu mwenzenu nna hamu kuyahadithia
Oh nna hamu tena nna hamu kuyasimulia
Utani kama utani tulianza kimasiara
Sikudhani sikudhani yatafikia mahala
Akiwa hapatikani hapaliki sijalala
Kanifanya kitu gani? Mbona imekua mara?
Dua la kuku menipata mwewe wallah nyinyi ni mtihani
Hata makosa ayafanye yeye mimi ndo naomba samahani

[Pre-Chorus]
Ona anacheka kama mazuri
Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje sa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaeka nukta kanitia na kufuli

[Chorus]
Oh, baby mimi hapa taabani (Wewe utaniuwa niuwa)
Nimeoza dah yarabi sihemii ( Wewe utaniuwa niuwa)
Ah, izo raha zakoo (Wewe utaniuwa niuwa)
Roho yangu mali yako (Wewe utaniuwa niuwa)
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.
Информация
Комментариев пока нет. Вы можете быть первым!
Войти Зарегистрироваться
Войдите в свой аккаунт
И получите новые возможности