
Magufuli Baba Lao Delvo (Ft. Diamond Platnumz)
На этой странице вы найдете полный текст песни "Magufuli Baba Lao" от Delvo (Ft. Diamond Platnumz). Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

Magufuli baba lao (Baba lao) Joseph baba lao (Baba lao) John Pombe baba lao (Baba lao) Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao) Majaliwa baba lao (Baba lao) Bashiru baba lao (Baba lao) CCM chama lao
Kona kwa kona, chocho tuchocho Kwa wakubwa mpaka watoto Magu anazidi pamba moto Wapinzani matumbo joto
Mmechoka eti? (Aaah wapi) Mnataka lala? (Agah wapi) Wapinznai watatuzidi? Aaah wapi) Wataweza huu muziki? Aaah wapi)
Sasa twende kisa mjini sambamba Magu anazidi bamba Anafufua na viwanda Ndege zetu tunapanda
Wataweza kweli? (Aaah wapi) Kushindana nasi (Aaah wapi) Hata wakiungana (Aaah wapi) Matusi kututukana (Aaah wapi)
Magufuli baba lao (Baba lao) Joseph baba lao (Baba lao) John Pombe baba lao (Baba lao) Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao) Olepole baba lao (Baba lao) Mzee Mangula baba lao (Baba lao) CCM chama lao
Majib Selema Hadija Selema (Selema) Wananchi wamesema Tunashinda tena (Eeh tena)
Wanadhani kura mseleleko Eeeh tunawakwepa Watabaki masononeko Eeeh tunawacheka
Kwanza kunja gaju (Eeh kunja gaju) Nikupe mikakati (Eeh mikakati) Ameleta mwendo kasi Barabara juu na kati
Eeh shule za kata (Ni bure) Sekondari (Ni bure) Hospitali Ni bure) Kwa wazee (Ni bure)
Sisi twashinda tena Sisi CCM twashinda ten Magu anashinda tena Magu Magu anashinda tena eeh
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao) Majaliwa baba lao (Baba lao) Bashiru baba lao (Baba lao) CCM chama lao
Kona kwa kona, chocho tuchocho Kwa wakubwa mpaka watoto Magu anazidi pamba moto Wapinzani matumbo joto
Mmechoka eti? (Aaah wapi) Mnataka lala? (Agah wapi) Wapinznai watatuzidi? Aaah wapi) Wataweza huu muziki? Aaah wapi)
Sasa twende kisa mjini sambamba Magu anazidi bamba Anafufua na viwanda Ndege zetu tunapanda
Wataweza kweli? (Aaah wapi) Kushindana nasi (Aaah wapi) Hata wakiungana (Aaah wapi) Matusi kututukana (Aaah wapi)
Magufuli baba lao (Baba lao) Joseph baba lao (Baba lao) John Pombe baba lao (Baba lao) Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao) Olepole baba lao (Baba lao) Mzee Mangula baba lao (Baba lao) CCM chama lao
Majib Selema Hadija Selema (Selema) Wananchi wamesema Tunashinda tena (Eeh tena)
Wanadhani kura mseleleko Eeeh tunawakwepa Watabaki masononeko Eeeh tunawacheka
Kwanza kunja gaju (Eeh kunja gaju) Nikupe mikakati (Eeh mikakati) Ameleta mwendo kasi Barabara juu na kati
Eeh shule za kata (Ni bure) Sekondari (Ni bure) Hospitali Ni bure) Kwa wazee (Ni bure)
Sisi twashinda tena Sisi CCM twashinda ten Magu anashinda tena Magu Magu anashinda tena eeh
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.