
Niache Diamond Platnumz
На этой странице вы найдете полный текст песни "Niache" от Diamond Platnumz. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Verse 1]
Hhhhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (Hhhhmm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (Oooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (Hhhhmm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (Hhhhmm)
[Bridge]
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
[Chorus]
Niache......!
Niache......!
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Nipambane na moyo wangu
Niache......! (Niiaaa....!)
Niache......! (Moyo wangu una hasira)
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Oooh Oh!
Hhhhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (Hhhhmm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (Oooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (Hhhhmm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (Hhhhmm)
[Bridge]
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
[Chorus]
Niache......!
Niache......!
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Nipambane na moyo wangu
Niache......! (Niiaaa....!)
Niache......! (Moyo wangu una hasira)
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Oooh Oh!
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.