
Never Give Up Harmonize
На этой странице вы найдете полный текст песни "Never Give Up" от Harmonize. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Intro: Harmonize]
Ai
Ooh no
Oh lord have mercy
Iyee iyee eeh eeh
Konde boy
[Verse 1]
Let me tell you my story
Nimezaliwa Mtwara, Tanzania
Huko kijijini Chitoholi
Hapa mjini nimezamia
Ndoto zilikuwa kucheza boli;
Mara ghafla kwa muziki zikahamia
My daddy Iam sorry
Swala tano hukupenda uliposikia
Kama utani si nikaanza kuimba
Mungu si Athumani,nikakutana na Simba; Akanipiga company
Japo kuna walo pinga
Kwamba sina kipaji
['Ninakupenda malaika' 'Malaika' '...umeuharibu sana huo wimbo' 'Ulikuwa unafanya mazoezi nnje hapo eeh' 'Ndio' 'Nilikusikia, nilishakupa NO tangia mwanzoni' 'NO, make me sing']
Fitina za ndani ndani mara 'Harmo' anavimba
Atapendwa na nani? Mmakonde wa Tandahimba
Nikajipa imani ipo siku nitashinda Maana Mola ndo mpaji
Eeeh
Ai
Ooh no
Oh lord have mercy
Iyee iyee eeh eeh
Konde boy
[Verse 1]
Let me tell you my story
Nimezaliwa Mtwara, Tanzania
Huko kijijini Chitoholi
Hapa mjini nimezamia
Ndoto zilikuwa kucheza boli;
Mara ghafla kwa muziki zikahamia
My daddy Iam sorry
Swala tano hukupenda uliposikia
Kama utani si nikaanza kuimba
Mungu si Athumani,nikakutana na Simba; Akanipiga company
Japo kuna walo pinga
Kwamba sina kipaji
['Ninakupenda malaika' 'Malaika' '...umeuharibu sana huo wimbo' 'Ulikuwa unafanya mazoezi nnje hapo eeh' 'Ndio' 'Nilikusikia, nilishakupa NO tangia mwanzoni' 'NO, make me sing']
Fitina za ndani ndani mara 'Harmo' anavimba
Atapendwa na nani? Mmakonde wa Tandahimba
Nikajipa imani ipo siku nitashinda Maana Mola ndo mpaji
Eeeh
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.