
Kamwambie Diamond Platnumz
На этой странице вы найдете полный текст песни "Kamwambie" от Diamond Platnumz. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Chorus]
Nenda kamwambie (uh huh)
Jinsi navyo mpenda mi (uh huh)
Na kama mapenzi bado (uh huh)
Mwambie nitayongeza mi
Nasema kamwambie (uh huh)
Jinsi navyo mpenda mi (uh huh)
Na kama mapenzi bado (uh huh)
Mwambie nitayongeza mi
[Verse 1]
Sio ningie mori, nyota, na mbala mwezi
Kwa vile mali yake, yeah, yeah
Natamani ila tatizo siwezi
Huenda ingefanya nielewe (ah, ona)
Si alinifunza mapenzi
Nilikuwa sijui kamwambie
Akanidekeza kishenzi
Kwa nyimbo nzuri nimwimbie
[Pre-Chorus]
So asidanganywe na gari burudani na fedha
Mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda
Kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari burudani na fedha
Mimi akanichukia
Mmmh, mwambie asisike mapenzi
Moyo wangu unaumia, eh ah
Nenda kamwambie (uh huh)
Jinsi navyo mpenda mi (uh huh)
Na kama mapenzi bado (uh huh)
Mwambie nitayongeza mi
Nasema kamwambie (uh huh)
Jinsi navyo mpenda mi (uh huh)
Na kama mapenzi bado (uh huh)
Mwambie nitayongeza mi
[Verse 1]
Sio ningie mori, nyota, na mbala mwezi
Kwa vile mali yake, yeah, yeah
Natamani ila tatizo siwezi
Huenda ingefanya nielewe (ah, ona)
Si alinifunza mapenzi
Nilikuwa sijui kamwambie
Akanidekeza kishenzi
Kwa nyimbo nzuri nimwimbie
[Pre-Chorus]
So asidanganywe na gari burudani na fedha
Mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda
Kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari burudani na fedha
Mimi akanichukia
Mmmh, mwambie asisike mapenzi
Moyo wangu unaumia, eh ah
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.