
Kwanini? Diamond Platnumz
On this page, discover the full lyrics of the song "Kwanini?" by Diamond Platnumz. Lyrxo.com offers the most comprehensive and accurate lyrics, helping you connect with the music you love on a deeper level. Ideal for dedicated fans and anyone who appreciates quality music.

[Verse 1: Diamond Platnumz]
Ah! Usinione nalia
Moyoni naumia
Kila siku maugomvi, unanukia mabia
Ina maana unataka usema
Huu moyo wangu hatambui
Thamani ya mapenzi
Ndo imegeuka kuwa uadui
[Bridge: Diamond Platnumz]
Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado
Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado
[Chorus]
Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Ah! Usinione nalia
Moyoni naumia
Kila siku maugomvi, unanukia mabia
Ina maana unataka usema
Huu moyo wangu hatambui
Thamani ya mapenzi
Ndo imegeuka kuwa uadui
[Bridge: Diamond Platnumz]
Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado
Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado
[Chorus]
Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.