
Napambana Zuchu
On this page, discover the full lyrics of the song "Napambana" by Zuchu. Lyrxo.com offers the most comprehensive and accurate lyrics, helping you connect with the music you love on a deeper level. Ideal for dedicated fans and anyone who appreciates quality music.

Naamka asubuhi, sina hata buku shi ndala
Cha kukila sijui, bora hata pa kulala
Chumbani matandabui, mende wamefanya utawala
Na mjomba panya haelewi, riziki yake hasara
Eh kwachakwacha, nakwenda nakwenda
Sijakubali kudoda hii ngoma haisambii
Na ndoto za alinacha, sijapenda sijapenda
Aliekupa kigoda, mi atanipa kumbi
Eh nipate ntoke patupu (kawaida iyo)
Siku nzima niambulie buku (ndo yakwangu sijaiba iyo)
Usiniulize naishije mjini (napambana)
Niokote machupa niuze siso (napambana)
Hata nkidanga jama niacheni (napambana)
Niwe kondakta ubungo migomigo (napambana)
Haaa, eeeh, iiih (napambana)
Aaah, eeeh, oooh (napambana)
Mama Mkubwa Lemukuu
Khadija Kopa
Boss Dela Boss
Mama Dangote
Majiamdimu majiamdimu
Saga saga saga saga
Cha kukila sijui, bora hata pa kulala
Chumbani matandabui, mende wamefanya utawala
Na mjomba panya haelewi, riziki yake hasara
Eh kwachakwacha, nakwenda nakwenda
Sijakubali kudoda hii ngoma haisambii
Na ndoto za alinacha, sijapenda sijapenda
Aliekupa kigoda, mi atanipa kumbi
Eh nipate ntoke patupu (kawaida iyo)
Siku nzima niambulie buku (ndo yakwangu sijaiba iyo)
Usiniulize naishije mjini (napambana)
Niokote machupa niuze siso (napambana)
Hata nkidanga jama niacheni (napambana)
Niwe kondakta ubungo migomigo (napambana)
Haaa, eeeh, iiih (napambana)
Aaah, eeeh, oooh (napambana)
Mama Mkubwa Lemukuu
Khadija Kopa
Boss Dela Boss
Mama Dangote
Majiamdimu majiamdimu
Saga saga saga saga
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.