
Binadamu Diamond Platnumz
На этой странице вы найдете полный текст песни "Binadamu" от Diamond Platnumz. Lyrxo предлагает вам самый полный и точный текст этой композиции без лишних отвлекающих факторов. Узнайте все куплеты и припев, чтобы лучше понять любимую песню и насладиться ею в полной мере. Идеально для фанатов и всех, кто ценит качественную музыку.

[Intro]
Ayo
Ha ha
Yo, I'm back, Bob Junior, I'm back
Acha vita ianze
Wamechelewa
[Chorus]
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
(Wabaya...)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(Mbaya...)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola
Naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa
[Verse 1]
Nilipouanza mziki
Mbali na dhiki
Nimekutana na matatizo sana
Sikuwa rafiki
Sithaminiki
Bado kidogo mie tu nikate tamaa
Wangu moyo
Ulivumilia dharau na masimango mi
Mi wangu moyo
Ulivumilia utumwa na manyanyaso di
Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Moyoni najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia...
Ayo
Ha ha
Yo, I'm back, Bob Junior, I'm back
Acha vita ianze
Wamechelewa
[Chorus]
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
(Wabaya...)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(Mbaya...)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola
Naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa
[Verse 1]
Nilipouanza mziki
Mbali na dhiki
Nimekutana na matatizo sana
Sikuwa rafiki
Sithaminiki
Bado kidogo mie tu nikate tamaa
Wangu moyo
Ulivumilia dharau na masimango mi
Mi wangu moyo
Ulivumilia utumwa na manyanyaso di
Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Moyoni najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia...
Комментарии (0)
Минимальная длина комментария — 50 символов.