[Intro]
Yaw-yaw
Jeshii
La-la-li-la-la, mmh, la-la-la
Chiiii
Eeh
[Verse 1]
Ni mwaka mpya mambo mapya sina dhambi nimetubu
Na pesa ntazichanga change nizijaze kwa kibubuu
Japo hata kakibanda nikajenge huko pugu
Maana nyumba za kupanga nishazichoka vurugu
Eti kwani wao waweze wana nini (Mmmh)
Na mimi nishindwe nina nini
Nishachoka siku zote kuwa wa chini
Wengine wanakula kipupwe ma ofisini
[Pre-Chorus]
Mliosema haolewi olewi mbona kaolewa
Mliosema hapewi hapewi mbona amepewa
[Chorus]
Mwaka huu ni wangu kutimiza ndoto zangu
Nasema mwaka huu ni wangu kwa baraka za mungu wangu, dear Lord
Hakuna mungu kama wewe babaa (Eh, hakuna)
Kama wewe yawee (Eh, hakuna)
Hakuna mungu kama wewe babaa (Eh, hakuna)
Kama wewe yawee (Eh, hakuna)
Yaw-yaw
Jeshii
La-la-li-la-la, mmh, la-la-la
Chiiii
Eeh
[Verse 1]
Ni mwaka mpya mambo mapya sina dhambi nimetubu
Na pesa ntazichanga change nizijaze kwa kibubuu
Japo hata kakibanda nikajenge huko pugu
Maana nyumba za kupanga nishazichoka vurugu
Eti kwani wao waweze wana nini (Mmmh)
Na mimi nishindwe nina nini
Nishachoka siku zote kuwa wa chini
Wengine wanakula kipupwe ma ofisini
[Pre-Chorus]
Mliosema haolewi olewi mbona kaolewa
Mliosema hapewi hapewi mbona amepewa
[Chorus]
Mwaka huu ni wangu kutimiza ndoto zangu
Nasema mwaka huu ni wangu kwa baraka za mungu wangu, dear Lord
Hakuna mungu kama wewe babaa (Eh, hakuna)
Kama wewe yawee (Eh, hakuna)
Hakuna mungu kama wewe babaa (Eh, hakuna)
Kama wewe yawee (Eh, hakuna)
Comments (0)
The minimum comment length is 50 characters.